Skip to Content

"atupaye"

3 mara katika SUV

Kama mtu mwenye wazimu atupaye mienge, Na mishale, na mauti;

Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.

Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.