Hakumwacha mtu awaonee; Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao;
Hakumwacha mtu awaonee, Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao.
Kwa ajili ya hayo Bwana atangoja, ili awaonee huruma, na kwa ajili ya hayo atatukuzwa, ili awarehemu; kwa maana Bwana ni Mungu wa hukumu; heri wote wamngojao.