Wakasafiri kutoka Moserothi, wakapanga Bene-yakani.
Wakasafiri kutoka Bene-yakani, wakapanga Hor-hagidgadi.
(Wana wa Israeli wakasafiri kutoka visima vya Bene-Yaakani kwenda Mosera; Haruni akafa huko, akazikwa huko; na Eleazari mwanawe alitumika utumishi wa ukuhani badala yake.
na Yehudi, na Bene-beraki, na Gathrimoni;