Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
Kenani akaishi baada ya kumzaa Mahalaleli miaka mia nane na arobaini, akazaa wana, waume na wake.
Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, waume na wake.
Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.
na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;
Tena wakakaa Yerusalemu wengine wa wana wa Yuda, na wengine wa wana wa Benyamini. Wa wana wa Yuda; Athaya, mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, wa wana wa Peresi;