na mumbi, na mwari, na mderi;
na mwari, na nderi, na mnandi;
Nimekuwa kama mwari nyuni wa jangwani, Na kufanana na bundi wa mahameni.
Na makundi ya wanyama watalala kati yake, wanyama wote wa mataifa; mwari-nyuni na nungu watakaa juu ya vichwa vya nguzo zake; sauti yao itasikiwa madirishani; vizingitini mwake mtakuwa ukiwa; kwa maana ameifunua kazi ya mierezi.