Nao wale wanawake waliokuwa jirani zake wakampa jina, wakisema, Naomi amezaliwa mwana; wakamwita jina lake Obedi; yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.
na Salmoni akamzaa Boazi; na Boazi akamzaa Obedi;
na Obedi akamzaa Yese; na Yese akamzaa Daudi.
na Boazi akamzaa Obedi; na Obedi akamzaa Yese;
na Zabadi akamzaa Eflali; na Eflali akamzaa Obedi;
na Obedi akamzaa Yehu; na Yehu akamzaa Azaria;
Elieli, na Obedi, na Yaasieli Mmesobai.
Wana wa Shemaya; Othni, na Refaeli, na Obedi, na Elzabadi, nduguze walikuwa mashujaa, Elihu, na Semakia.
Hata mwaka wa saba Yehoyada akajitia nguvu, akawatwaa maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, na Ishmaeli mwana wa Yehohanani, na Azaria mwana wa Obedi, na Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri, akapatana nao.
Salmoni akamzaa Boazi kwa Rahabu; Boazi akamzaa Obedi kwa Ruthu; Obedi akamzaa Yese;