Skip to Content

"pagieli"

5 mara katika SUV

Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.

Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila ya Asheri; na mkuu wa wana wa Asheri atakuwa Pagieli mwana wa Okrani;

Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;

tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe wawili waume, na kondoo waume watano, na mbuzi waume watano, na wana-kondoo watano waume wa mwaka wa kwanza; hayo ndiyo matoleo ya Pagieli mwana wa Okrani.

Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani;