Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.
akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano.
Walikuwa na visamaki vichache; akavibarikia, akasema wawaandikie na hivyo pia.