Skip to Content

"lihimidiwe"

3 mara katika SUV

Jina lake tukufu na lihimidiwe milele; Dunia yote na ijae utukufu wake. Amina na Amina.

Jina la Bwana lihimidiwe Tangu leo na hata milele.

Danieli akajibu, akasema, Na lihimidiwe jina la Mungu milele na milele; kwa kuwa hekima na uweza ni wake.