Skip to Content

"machezo"

5 mara katika SUV

Kisha Yeftha akafika Mispa nyumbani kwake, na tazama, binti yake akamtokea kumlaki, na matari na machezo; naye alikuwa ni mwanawe pekee; hakuwa na mwingine, mwana wala binti, ila yeye.

Uligeuza matanga yangu kuwa machezo; Ulinivua gunia, ukanivika furaha.

Furaha ya mioyo yetu imekoma; Machezo yetu yamegeuka maombolezo.

Basi kwa ajili ya hayo sasa watakwenda utumwani pamoja na wa kwanza watakaokwenda utumwani, na kelele za machezo za hao waliojinyosha zitakoma.

Hata mtu akishindana katika machezo hapewi taji, asiposhindana kwa halali.