Mwe na hofu wala msitende dhambi, Tafakarini vitandani mwenu na kutulia.
Watauwa na waushangilie utukufu, Waimbe kwa sauti kuu vitandani mwao.
Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, kwa sababu ya katika uwezo wa mikono yao.
wakaenda mbio, wakizunguka nchi ile yote, wakaanza kuwachukua vitandani walio hawawezi, kwenda kila mahali waliposikia kwamba yupo.